Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo watu wa kabila la Dani walichagua miongoni mwao watu hodari wakawatuma kutoka huko Eshtaoli na Sora wakawaamuru waende kuipeleleza nchi. Basi watu hao wakafika katika nchi ya milima ya Efraimu, nyumbani kwa Mika, wakakaa humo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:2 katika mazingira