Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakuu wa Wafilisti wakamjia Delila, wakamwambia, “Mbembeleze Samsoni ili ujue asili ya nguvu zake nyingi ili tuweze kumkamata na kumfunga. Ukifanya hivyo, kila mmoja wetu atakupa vipande thelathini vya fedha.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:5 katika mazingira