Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndugu zake na jamaa yake yote wakaja kumchukua; wakamzika katikati ya mji wa Sora na mji wa Eshtaoli katika kaburi la Manoa, baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:31 katika mazingira