Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipojawa na furaha sana mioyoni mwao, wakasema, “Mleteni Samsoni atutumbuize.” Basi wakamtoa Samsoni gerezani, wakamleta naye akawatumbuiza. Wakamweka katikati ya nguzo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:25 katika mazingira