Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakuu wa Wafilisti walikusanyika ili kusherehekea na kumtolea tambiko mungu wao aitwaye Dagoni. Basi, wakawa wanaimba, “Mungu wetu amemtia mikononi mwetu adui yetu Samsoni.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:23 katika mazingira