Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa bado unanidhihaki. Umenidanganya. Niambie unavyoweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, “Ukivisuka vishungi vyangu saba vya nywele zangu katika mtandio wa nguo na kuvikaza kabisa kwa kigingi, nitakuwa dhaifu kama mtu yeyote.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:13 katika mazingira