Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

2. Watu wa Gaza walipoambiwa kuwa Samsoni yuko huko, walilizingira eneo hilo na kumvizia kwenye lango la mji usiku kucha. Wakakaa kimya huko langoni usiku wote wakifikiri kwamba wanaweza kungojea mpaka mapambazuko wapate kumuua.

Kusoma sura kamili Waamuzi 16