Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 15:19-20 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Mungu akafungua mahali palipokuwa na shimo huko Leki, akatiririsha maji. Samsoni akanywa maji hayo na nguvu zake zikamrudia. Chemchemi hiyo ikaitwa En-hakore; nayo iko huko Lehi mpaka leo.

20. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini, nyakati za Wafilisti.

Kusoma sura kamili Waamuzi 15