Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 14:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti.

2. Aliporudi nyumbani akawaambia wazazi wake, “Nimemwona msichana mmoja Mfilisti huko Timna. Niozeni msichana huyo.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 14