Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 11:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wote Waisraeli walipoishi mjini Heshboni na vijiji vyake, na mji wa Aroeri na vijiji vyake pamoja na miji yote iliyo ukingoni mwa mto Arnoni kwa muda wa miaka 300, kwa nini hukulikomboa eneo hilo wakati huo?

Kusoma sura kamili Waamuzi 11

Mtazamo Waamuzi 11:26 katika mazingira