Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu wakatumikia Mabaali, Maashtarothi, na miungu ya Shamu, ya Sidoni, ya Moabu, ya Amoni na ya Wafilisti. Walimwacha Mwenyezi-Mungu na wala hawakumwabudu tena.

Kusoma sura kamili Waamuzi 10

Mtazamo Waamuzi 10:6 katika mazingira