Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 1:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa kabila la Yuda wakawaambia ndugu zao, watu wa kabila la Simeoni, “Shirikianeni nasi tunapokwenda kuitwaa nchi hiyo ambayo tumepewa. Nasi, pia tutashirikiana nanyi kwenda kuitwaa nchi mtakayopewa.” Hivyo kabila la Simeoni likakubali kushirikiana nao.

Kusoma sura kamili Waamuzi 1

Mtazamo Waamuzi 1:3 katika mazingira