Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 1:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa kabila la Manase hawakuwafukuza wakazi wa miji ya Beth-sheani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Dori na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, na Megido pamoja na vijiji vyake. Wakanaani waliendelea kukaa huko.

Kusoma sura kamili Waamuzi 1

Mtazamo Waamuzi 1:27 katika mazingira