Agano la Kale

Agano Jipya

Sefania 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, niishivyo mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi,mimi Mungu wa Israeli,Moabu itakuwa kama Sodomana Amoni itakuwa kama Gomora.Nchi zake zitakuwa za viwavi na mashimo ya chumvi,zitakuwa ukiwa milele.Watu wangu watakaobaki wataziteka nyara,watu wa taifa langu waliosalia watazimiliki.”

Kusoma sura kamili Sefania 2

Mtazamo Sefania 2:9 katika mazingira