Agano la Kale

Agano Jipya

Sefania 1:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amenia, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa mfalme Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda:

2. Mwenyezi-Mungu asema:“Nitavifagilia mbali viumbe vyote duniani:

Kusoma sura kamili Sefania 1