Agano la Kale

Agano Jipya

Ruthu 1:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Lakini Elimeleki, mumewe Naomi, alifariki na Naomi akaachwa na wanawe wawili.

4. Vijana hao walioa wasichana wa Kimoabu, Orpa na Ruthu. Baada ya miaka kumi hivi,

5. Mahloni na Kilioni nao pia walifariki.

6. Baadaye, Naomi alipata habari kwamba Mwenyezi-Mungu alikuwa amewabariki watu wake kwa kuwapa chakula. Basi, akaondoka kutoka Moabu kurudi kwao pamoja na wakwe zake.

Kusoma sura kamili Ruthu 1