Agano la Kale

Agano Jipya

Obadia 1:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, kama walivyokunywa kikombe cha ghadhabu yangukwenye mlima wangu mtakatifundivyo na mataifa jirani yatakavyokunywa;watakunywa na kupepesuka,wataangamia kana kwamba hawakuwahi kuwapo duniani.

Kusoma sura kamili Obadia 1

Mtazamo Obadia 1:16 katika mazingira