Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 8:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu waliposikia sheria, waliguswa mioyoni mwao, ndipo wote walipoanza kulia. Hivyo Nehemia aliyekuwa mtawala na Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliowafundisha watu waliwaambia watu wote, “Siku hii ni siku takatifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, hivyo msiomboleze wala kulia.

Kusoma sura kamili Nehemia 8

Mtazamo Nehemia 8:9 katika mazingira