Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ezra akamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu na watu wote wakaitikia “Amina! Amina!” Huku wakiwa wameinua mikono yao juu. Kisha wakamsujudia Mungu huku nyuso zao zikigusa ardhi.

Kusoma sura kamili Nehemia 8

Mtazamo Nehemia 8:6 katika mazingira