Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 6:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Sanbalati, Tobia, Geshemu, Mwarabu na adui zetu wengine, waliposikia kuwa tumemaliza ujenzi wa ukuta na kwamba hakuna mapengo yoyote (ingawa tulikuwa bado hatujaweka milango ya malango),

Kusoma sura kamili Nehemia 6

Mtazamo Nehemia 6:1 katika mazingira