Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 5:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao wakaitikia na kusema, “Tutawarudishia na hatutawadai chochote. Tutafanya kama ulivyosema.” Nikawaita makuhani mbele, na viongozi wote wakaapa mbele ya makuhani kufanya kama walivyoahidi.

Kusoma sura kamili Nehemia 5

Mtazamo Nehemia 5:12 katika mazingira