Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 3:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Lango la Samadi lilijengwa upya na Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-hakeremu. Akaliweka lango mahali pake, akatia bawaba na makomeo yake.

Kusoma sura kamili Nehemia 3

Mtazamo Nehemia 3:14 katika mazingira