Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 2:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Sanbalati, Mhoroni, Tobia, Mwamoni mtumishi wake, na Geshemu, Mwarabu, waliposikia, wakatucheka na kutuzomea wakisema, “Ni kitu gani hiki mnachotenda? Je, mnataka kumwasi mfalme?”

Kusoma sura kamili Nehemia 2

Mtazamo Nehemia 2:19 katika mazingira