Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Maofisa hawakujua mahali nilipokuwa nimekwenda wala nimefanya nini. Tena nilikuwa sijawaambia Wayahudi, makuhani, viongozi, wakuu wala wale watu ambao wangeifanya kazi ya kuujenga upya mji.

Kusoma sura kamili Nehemia 2

Mtazamo Nehemia 2:16 katika mazingira