Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha niliondoka usiku, mimi pamoja na watu wachache; sikumwambia mtu yeyote yale ambayo Mungu alikuwa ameyaweka moyoni mwangu kwa ajili ya mji wa Yerusalemu. Lakini siku moja usiku, niliondoka na kuwachukua watu wachache tu. Sikuchukua mnyama yeyote isipokuwa punda niliyempanda mimi mwenyewe.

Kusoma sura kamili Nehemia 2

Mtazamo Nehemia 2:12 katika mazingira