Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 13:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, niliamuru kuwa malango ya mji wa Yerusalemu yafungwe mara Sabato inapoanza jioni, wakati giza linapoanza kuingia, na yasifunguliwe mpaka Sabato imekwisha. Niliweka baadhi ya watumishi wangu kwenye malango na kuwaagiza kuwa kitu chochote kisiletwe mjini siku ya Sabato.

Kusoma sura kamili Nehemia 13

Mtazamo Nehemia 13:19 katika mazingira