Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 12:5-18 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Miyamini, Maadia, Bilga,

6. Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,

7. Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakuu wa makuhani na ndugu zao wakati wa Yeshua.

8. Walawi: Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda na Matania, ambaye alihusika na usimamizi wa nyimbo za shukrani akishirikiana na ndugu zake.

9. Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.

10. Yeshua alimzaa Yoyakimu, Yoyakimu alimzaa Eliashibu, Eliashibu alimzaa Yoyada,

11. Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.

12. Yoyakimu alipokuwa kuhani mkuu, makuhani wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;

13. wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani;

14. wa Maluki, Yonathani; wa Shebania, Yosefu;

15. wa Harimu, Adna; wa Merayothi, Helkai;

16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;

17. wa Abiya, Zikri; ukoo wa Miniamini; wa Moadia, Piltai;

18. wa Bilga, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;

Kusoma sura kamili Nehemia 12