Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 12:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Na kutoka hapo, tulipitia Lango la Efraimu, Lango la Yeshana, Lango la Samaki, Mnara wa Hananeli, Mnara wa Mia Moja mpaka kwenye Lango la Kondoo. Tulimalizia maandamano yetu kwenye Lango la Gereza.

Kusoma sura kamili Nehemia 12

Mtazamo Nehemia 12:39 katika mazingira