12. Yoyakimu alipokuwa kuhani mkuu, makuhani wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;
13. wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani;
14. wa Maluki, Yonathani; wa Shebania, Yosefu;
15. wa Harimu, Adna; wa Merayothi, Helkai;
16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;
17. wa Abiya, Zikri; ukoo wa Miniamini; wa Moadia, Piltai;
18. wa Bilga, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;
19. wa Yoaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;
20. wa Salai, Kalai; wa Amoki, Eberi;
21. wa Hilkia, Heshabia; na wa ukoo wa Yedaya, Nethaneli.
22. Wakati wa Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakuu wa jamaa za Walawi, waliorodheshwa; vilevile wakati wa utawala wa mfalme Dario wakuu wa jamaa za makuhani waliorodheshwa.