10. Yeshua alimzaa Yoyakimu, Yoyakimu alimzaa Eliashibu, Eliashibu alimzaa Yoyada,
11. Yoyada alimzaa Yonathani na Yonathani akamzaa Yadua.
12. Yoyakimu alipokuwa kuhani mkuu, makuhani wafuatao walikuwa wakuu wa koo zao: Wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;
13. wa Ezra, Mehulamu; wa Amaria, Yehohanani;
14. wa Maluki, Yonathani; wa Shebania, Yosefu;
15. wa Harimu, Adna; wa Merayothi, Helkai;
16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;
17. wa Abiya, Zikri; ukoo wa Miniamini; wa Moadia, Piltai;
18. wa Bilga, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;
19. wa Yoaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;