Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 12:1-9 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ifuatayo ni orodha ya makuhani na Walawi waliorudi kutoka uhamishoni pamoja na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na kuhani mkuu Yeshua.Makuhani: Seraya, Yeremia, Ezra,

2. Amaria, Maluki, Hatushi,

3. Shekania, Rehumu, Meremothi,

4. Ido, Ginethoni, Abiya,

5. Miyamini, Maadia, Bilga,

6. Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,

7. Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakuu wa makuhani na ndugu zao wakati wa Yeshua.

8. Walawi: Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda na Matania, ambaye alihusika na usimamizi wa nyimbo za shukrani akishirikiana na ndugu zake.

9. Nao Bakbukia na Uno rafiki zao, walisimama ibadani mkabala nao.

Kusoma sura kamili Nehemia 12