Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 11:31-36 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Watu wa kabila la Benyamini walikaa Geba, Mikmashi, Ai, Betheli na vijiji vinavyoizunguka.

32. Wengine walikaa Anathothi, Nobu, Anania,

33. Hazori, Rama, Gitaimu,

34. Hadidi, Seboimu, Nebalati,

35. Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

36. Baadhi ya Walawi wa Yuda walichanganyikana na watu wa Benyamini.

Kusoma sura kamili Nehemia 11