1. Kwenye hati yenye mhuri kulikuwapo majina ya Nehemia, mtawala wa mkoa, mwana wa Hakalia, na Sedekia;
2. Seraya, Azaria, Yeremia,
3. Pashuri, Amaria, Malkiya,
4. Hatushi, Shebania, Maluki,
5. Harimu, Meremothi, Obadia,
6. Danieli, Ginethoni, Baruku,
7. Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8. Maazia, Bilgai na Shemaya.