Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 1:5 Biblia Habari Njema (BHN)

nikisema, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa mbinguni, wewe u Mungu aliye mkuu na wa kutisha, unalishika agano lako na unawafadhili wale wakupendao na kuzishika amri zako.

Kusoma sura kamili Nehemia 1

Mtazamo Nehemia 1:5 katika mazingira