Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 9:25-29 Biblia Habari Njema (BHN)

25. akasema,“Kanaani na alaaniwe!Atakuwa mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake.”

26. Tena akasema,“Shemu na abarikiwe na Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu!Kanaani na awe mtumwa wake.

27. Mungu na amkuze Yafethi,aishi katika hema za Shemu;Kanaani na awe mtumwa wake.”

28. Baada ya gharika, Noa aliishi miaka 350,

29. kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Kusoma sura kamili Mwanzo 9