19. Hao ndio watoto watatu wa Noa, na kutokana nao watu walienea duniani kote.
20. Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,
21. akanywa divai, akalewa, kisha akalala uchi hemani mwake.
22. Hamu, baba yake Kanaani, aliuona uchi wa baba yake, akatoka nje na kuwaambia ndugu zake wawili.