Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 8:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Kisha Noa akamtoa njiwa apate kuona kama maji yalikuwa yamepungua juu ya nchi.

9. Lakini, kwa vile maji yalikuwa bado yameifunika nchi yote, huyo njiwa hakupata mahali pa kutua, akamrudia Noa katika safina. Noa akanyosha mkono, akamtwaa na kumrudisha ndani ya safina.

10. Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

11. Njiwa huyo akamrudia Noa saa za jioni akiwa na tawi bichi la mzeituni mdomoni mwake. Kwa hiyo Noa akajua kwamba maji yalikuwa yamepungua katika nchi.

Kusoma sura kamili Mwanzo 8