Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 8:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Noa akangoja siku nyingine saba, kisha akamtoa tena huyo njiwa.

11. Njiwa huyo akamrudia Noa saa za jioni akiwa na tawi bichi la mzeituni mdomoni mwake. Kwa hiyo Noa akajua kwamba maji yalikuwa yamepungua katika nchi.

12. Kisha akangoja siku nyingine saba, akamtoa tena yule njiwa; safari hii njiwa hakurudi kabisa.

Kusoma sura kamili Mwanzo 8