Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 7:22-24 Biblia Habari Njema (BHN)

22. naam, kila kiumbe hai katika nchi kavu kilikufa.

23. Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa hai duniani: Binadamu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Vyote viliangamizwa duniani. Noa tu ndiye aliyesalimika na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.

24. Maji hayo yalidumu katika nchi siku 150.

Kusoma sura kamili Mwanzo 7