Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 50:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yosefu akafariki kule Misri, akiwa na umri wa miaka 110. Nao wakaupaka mwili wake dawa usioze, wakauweka katika jeneza kule Misri.

Kusoma sura kamili Mwanzo 50

Mtazamo Mwanzo 50:26 katika mazingira