Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 5:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Sethi alifariki akiwa na umri wa miaka 912.

9. Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.

10. Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

11. Enoshi alifariki akiwa na umri wa miaka 905.

Kusoma sura kamili Mwanzo 5