Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 5:14-23 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Kenani alifariki akiwa na umri wa miaka 910.

15. Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.

16. Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

17. Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

18. Yaredi alipokuwa na umri wa miaka 162, alimzaa Henoki.

19. Baada ya kumzaa Henoki, Yaredi aliishi miaka 800 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

20. Yaredi alifariki akiwa na umri wa miaka 962.

21. Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.

22. Henoki alikuwa mcha Mungu. Baada ya kumzaa Methusela, Henoki aliishi miaka 300 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

23. Henoki aliishi miaka 365.

Kusoma sura kamili Mwanzo 5