Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 5:12-20 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Kenani alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Mahalaleli.

13. Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

14. Kenani alifariki akiwa na umri wa miaka 910.

15. Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.

16. Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

17. Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

18. Yaredi alipokuwa na umri wa miaka 162, alimzaa Henoki.

19. Baada ya kumzaa Henoki, Yaredi aliishi miaka 800 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

20. Yaredi alifariki akiwa na umri wa miaka 962.

Kusoma sura kamili Mwanzo 5