Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 47:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha wakamwambia Farao, “Sisi watumishi wako tumekuja kukaa kama wageni humu nchini kwa kuwa njaa ni kali huko Kanaani na hakuna tena malisho kwa mifugo yetu. Hivyo, bwana, tunakuomba, sisi watumishi wako, uturuhusu kukaa katika eneo la Gosheni.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 47

Mtazamo Mwanzo 47:4 katika mazingira