Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 44:21-24 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Bwana, ulituagiza sisi watumishi wako kumleta huyo mdogo wetu upate kumwona.

22. Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.

23. Lakini wewe bwana ukatuambia kwamba kama hatutakuja na ndugu yetu mdogo, hutatupokea tena.

24. “Tuliporudi nyumbani kwa mtumishi wako, baba yetu, tulimwarifu ulivyotuagiza, bwana.

Kusoma sura kamili Mwanzo 44