Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 41:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Yosefu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza kumtumikia Farao, mfalme wa Misri. Alitoka nyumbani kwa Farao na kuitembelea nchi yote ya Misri.

Kusoma sura kamili Mwanzo 41

Mtazamo Mwanzo 41:46 katika mazingira