Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 41:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baada ya miaka miwili mizima, Farao aliota ndoto: Alijikuta amesimama kando ya mto Nili,

2. akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

3. Halafu, baada ya hao, ng'ombe wengine saba waliokonda sana wakatoka katika mto Nili, wakaja na kusimama karibu na wale ng'ombe wazuri na wanono, kando ya mto.

Kusoma sura kamili Mwanzo 41