Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 36:38-43 Biblia Habari Njema (BHN)

38. Shauli alipofariki, Baal-hanani, mwana wa Akbori, alitawala badala yake.

39. Baal-hanani, mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi alitawala badala yake, na jina la mji wake likiwa Pau. Mkewe Akbori alikuwa Mehetabeli, binti Matredi na mjukuu wa Mezahabu.

40. Wakuu wa makabila yaliyotokana na Esau, kadiri ya makabila yao na makazi yao walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,

41. Oholibama, Ela, Pinoni,

42. Kenazi, Temani, Mibsari,

43. Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila yaliyotokana na Edomu, yaani Esau, baba yake Edomu; wametajwa kulingana na makazi yao katika sehemu za nchi walizomiliki.

Kusoma sura kamili Mwanzo 36