Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 36:29-33 Biblia Habari Njema (BHN)

29. Basi, hao ndio wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

30. Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake katika nchi ya Seiri.

31. Wafuatao ni wafalme waliotawala nchi ya Edomu, kabla mfalme yeyote hajawatawala Waisraeli:

32. Bela mwana wa Beori alitawala nchi ya Edomu akiwa na makao yake makuu katika mji wa Dinhaba.

33. Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra alitawala badala yake.

Kusoma sura kamili Mwanzo 36