27. Watoto wa kiume wa Eseri walikuwa Bilhani Zaawani na Akani.
28. Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
29. Basi, hao ndio wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
30. Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake katika nchi ya Seiri.
31. Wafuatao ni wafalme waliotawala nchi ya Edomu, kabla mfalme yeyote hajawatawala Waisraeli: